Ziara ya Boni
Item Overview
- Title
- Ziara ya Boni
- Alternative title
- Visit to Boni
- Language
- No linguistic content
- Collection
- Ustadh Mau Digital Archive (UMADA)
- Program
- Modern Endangered Archives Program
Notes
- Description
-
SWAHILI: Ustadh Mau yuko kwenye picha hii kwa boni, kabila ambalo limesauliwa. Ni waislamu ingawa hawajui sana kuhusu dini. Ustadh alikwenda kuwatembelea huko madrasani kwao. Picha inaonyesha alipowaletea wanafunzi wa madrasa zawadi kama vitabu kalamu na paramendi kwa kusoma. Wakati huo walikuwa jamaa ya elfu tatu , wanaishi kwenye vijiji vitano: Bargoni, Mangai, Dede wa rede, Mlimani, Basuba (baina Mokowe na Kiunga, Lamu island West). Siku hizi kuna operesheni inayoitwa Operation Boni Forest kupambana na al-Shabab ambao wanafikiriwa kwamba wako Boni Forest.
ENGLISH: Ustadh Mau is amid the Boni people, an ethnic group that has been forgotten. As he puts it, "they are Muslims but they do not know enough about Islam" . Ustadh Mau went to visit them at their madrasa. The picture shows him bringing to them books, pens and candies. Back then the Boni group counted 3000 people. Boni people live in five villages: Bargoni, Mangai, Dede wa rede, Mlimani, Basuba (between Mokowe and Kiunga, Lamu island West). Currently an operation called Operation Boni Forest against al-Shabab is on.
Keywords
- Genre
- photographs
- Subject Geographic
-
Kenya
Boni (Kenya) - Resource type
- still image
- Subjects
-
kuwasimamia watu wanaohitaji
upunguzaji wa umaskini
education
elimu
poverty alleviation
charities
Find This Item
- Repository
- Ustadh Mau's Library
- Local Identifier
- umada_ph_00098
- ARK
- ark:/21198/z1qg4ngw
- Archival Collection
- Ustadh Mau's Library (umada_ph_00097.tif)
- Manifest url
Access Condition
- Rights statement
- copyrighted