Alberto Altamirano Zuñiga (Lieutenant Governor) and 12 other people from the Cocairo peasant community were arrested on March 6, 1983 by the Sinchis. The folder contains letters and requests from different human rights organizations addressed to State institutions, indicating the human rights violation that is being committed. They request information on the legal situation of Alberto Altamirano Zuñiga. There is a letter from the CCP giving an account of the legal situation of the Lieutenant Governor. The folder has 57 sheets
A letter from the Andoni community sent to the Chairman of the States Creation Panel requesting a visit to Andoni community during the panel's planned visit to Opobo.
Teachers of R.C.M. Aguleri Parish schools appeal to Azikiwe to resolve the issues of their unpaid salaries during Azikiwe's campaign visit to Aguleri community.
SWAHILI: Nyaraka hizi ni nakala za mawasiliano kati ya Waziri Mkuu wa Zanzibar (Mohamed Shamte) na Waziri Mkuu wa Kenya (Jomo Kenyatta) katika mwaka wa 1963. Barua kati ya Kenyatta na Shamte zinahusu kuhakikisha uhuru kamili wa kuabudu, hasa kwa raia wa Kiislamu wa Sultani. . Pia ina makubaliano kati ya serikali na usultani wa Zanzibar, serikali ya Kenya na utawala wa kikoloni wa Muingereza, huku Zanzibar ikikubali kwamba ukanda wa pwani ya Kenya ukabidhiwe Kenya bila ya kulipwa fidia wakati Kenya ikijipatia uhuru tarehe 12 Disemba, 1963. Nakala hizi zilipatiwa Ustadh Mau kutoka kwa Amir A. Amir.<br>ENGLISH: These documents are photocopies of correspondence between the Prime Minister of Zanzibar (Mohamed Shamte) and the Prime Minister of Kenya (Jomo Kenyatta) in 1963. The letters between Kenyatta and Shamte are about ensuring complete freedom of worship, in particular for the Sultan's Muslim subjects. It also contains an agreement between the government and sultanate of Zanzibar, the government of Kenya and the British colonial administration, with Zanzibar agreeing that the Kenyan coastal strip be ceded to Kenya without compensation when Kenya achieves independence on December 12th, 1963. These photocopies were provided to Ustadh Mau by Amir A. Amir.